MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Aprili 2024

Toleo hili lina makala za funzo za Juni 10–​Julai 7, 2024.

MAKALA YA 14

‘Songa Mbele Kuelekea Ukomavu’

Tutajifunza makala hii katika juma la Juni 10-16, 2024.

MAKALA YA 15

Endelea Kulithamini Zaidi Tengenezo la Yehova

Tutajifunza makala hii katika juma la Juni 17-23, 2024.

MAKALA YA 16

Jinsi ya Kuwa na Shangwe Zaidi Katika Huduma

Tutajifunza makala hii katika juma la Juni 24-30, 2024.

MAKALA YA 17

Usiiache Kamwe Paradiso ya Kiroho

Tutajifunza makala hii katika juma la Julai 1-7, 2024.

SIMULIZI LA MAISHA

Nguvu za Mungu Zimeonekana Wazi Kupitia Udhaifu Wangu

Ndugu Erkki Mäkelä anaeleza jinsi Yehova alivyomsaidia kukabiliana na changamoto katika utumishi wake wa wakati wote kutia ndani alipotumikia akiwa mmishonari katika maeneo yaliyo na vikundi vya wapiganaji nchini Kolombia.

Je, Wajua?

Kwa nini wanaume ambao si Waisraeli walitumikia katika jeshi la Mfalme Daudi?