MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Aprili 2024
Toleo hili lina makala za funzo za Juni 10–Julai 7, 2024.
MAKALA YA 15
Endelea Kulithamini Zaidi Tengenezo la Yehova
Tutajifunza makala hii katika juma la Juni 17-23, 2024.
MAKALA YA 16
Jinsi ya Kuwa na Shangwe Zaidi Katika Huduma
Tutajifunza makala hii katika juma la Juni 24-30, 2024.
MAKALA YA 17
Usiiache Kamwe Paradiso ya Kiroho
Tutajifunza makala hii katika juma la Julai 1-7, 2024.
SIMULIZI LA MAISHA
Nguvu za Mungu Zimeonekana Wazi Kupitia Udhaifu Wangu
Ndugu Erkki Mäkelä anaeleza jinsi Yehova alivyomsaidia kukabiliana na changamoto katika utumishi wake wa wakati wote kutia ndani alipotumikia akiwa mmishonari katika maeneo yaliyo na vikundi vya wapiganaji nchini Kolombia.
Je, Wajua?
Kwa nini wanaume ambao si Waisraeli walitumikia katika jeshi la Mfalme Daudi?