AMKENI!
Aprili 2014 | Usikate Tamaa! —Sababu Tatu za Kuendelea Kuishi
Je, umejaribu kujiua au labda mtu unayemfahamu amejaribu kujiua? Unaweza kubadili maoni yako ukijua sababu za kuendelea kuishi.
Kuutazama Ulimwengu
Habari zinatia ndani: jiji ambalo limepatanisha taa zote za barabarani, madhara ya afya ambayo yamezidi ukosefu wa chakula chenye lishe, na ndege mwenye umri unaozidi miaka 60 ambaye ameangua vifaranga.
KUTOKA KWA WASOMAJI WETU
Ufanye nini Unaposhauriwa?
Unawezaje kufaidika unaposhauriwa au kukosolewa?
HABARI KUU
Kwa Sababu Mambo Hubadilika
Hata kama hali yako haiwezi kubadilika, kuna jambo unaloweza kubadili.
HABARI KUU
Kwa Sababu Kuna Tumaini
Kama nuru inayoangaza gizani, tumaini linaweza kukusaidia usikazie fikira tu matatizo yako.
MAHOJIANO
Mtaalamu Anayefanya Utafiti Anaelezea Kuhusu Imani Yake
Frédéric Dumoulin alichukia dini sana hivi kwamba akawa mtu asiyeamini Mungu. Kujifunza Biblia na ubunifu ulio katika vitu vyenye uhai kulimsadikisha kwamba kuna Muumba?
NCHI NA WATU
Kutembelea Kambodia
Kwa nini watu ambao hawajawahi kukutana tena wanaitana ndugu, dada, shangazi, mjomba, bibi (nyanya), au babu?
JE, NI KAZI YA UBUNI?
Mabawa ya Kipepeo
Bawa la kipepeo aina ya Blue Morpho huonekana kuwa laini lakini lina magamba madogo yanayoweza kuonekana tu kwa kutumia darubini. Yana kusudi gani?
Habari Zaidi Mtandaoni
Ninapaswa Kujua Nini Kuhusu Kutuma Ujumbe Mchafu?
Je, kuna mtu anayekushinikiza umtumie ujumbe mchafu? Kuna madhara gani ya kutuma ujumbe mchafu? Je, ni tendo lisilo na madhara la kumchezea mtu mwingine kimapenzi?
Nifanye Nini Ninapoonewa?
Watu wengi wanaoonewa huhisi hakuna njia wanayoweza kusaidiwa. Makala hii inaeleza hatua zinazoweza kuchukuliwa ili kuboresha hali hiyo.
Rafiki wa Kweli
Ni rahisi kupata marafiki bandia, lakini unawezaje kupata rafiki wa kweli?
Yosefu Aokoa Uhai
Mkiwa familia someni pamoja Mwanzo sura ya 41-