Hamia kwenye habari

Hifadhi Yetu ya Vitu vya Kale

Soma kuhusu watu na matukio katika historia ya kisasa ya Mashahidi wa Yehova.

Muhtasari wa Kihistoria

Kupeperusha Habari Njema

Mashahidi wa Yehova walitumiaje kituo cha redio cha WBBR kutangaza ujumbe wa Ufalme?

“Majira Muhimu Sana”

Zion’s Watch Tower liliita wakati wa Ukumbusho wa Kifo cha Kristo ‘majira muhimu sana’ na liliwahimiza wasomaji waadhimishe. Ukumbusho uliadhimishwaje katika siku za mapema?

“Kuna Kazi Zaidi ya Mavuno Inayopaswa Kufanywa”

Kuna Mashahidi wa Yehova zaidi ya 760,000 wanaoeneza kweli ya Biblia nchini Brazili. Kazi ya kuhubiri ilianzaje huko Amerika ya Kusini?

Aliona Upendo Ukitawala Katika Mkahawa

Ikiwa umeanza kuhudhuria makusanyiko ya Mashahidi wa Yehova katika miaka ya 1990 au hivi karibuni, huenda ukashangaa kujua utaratibu uliotumiwa kwa miaka mingi katika makusanyiko hayo.

Jinsi Mbegu za Kwanza za Ufalme Zilivyopandwa Nchini Ureno

Wahubiri wa Ufalme wa kwanza-kwanza nchini Ureno walikabili hali zipi ngumu?

1870 hadi 1918

Hotuba za Watu Wote Zasaidia Kueneza Habari Njema Nchini Ireland

Ni nini kilichomsadikisha C. T. Russell kwamba shamba ‘lilikuwa tayari kuvunwa’?

Sinema ya Pekee Iliyochochea Imani Miaka 100 Iliyopita

Huu ni mwaka wa 100 tangu sinema ya “Photo-Drama of Creation” ilipoonyeshwa kwa mara ya kwanza. Sinema hiyo ilikusudiwa kuwasaidia watu kujenga imani katika Neno la Mungu, Biblia.

“Eureka Drama” Iliwasaidia Wengi Kupata Kweli ya Biblia

Toleo hilo lililofupishwa la “Photo-Drama of Creation” lingeweza kuonyeshwa katika maeneo ya mashambani, bila kutumia umeme.

“Ninapata Matokeo Yanayomtukuza Yehova”

Ingawa wanafunzi wa Biblia hawakuelewa kikamili suala la kutounga mkono upande wowote katika vita vya kwanza vya ulimwengu, unyoofu wao ulikuwa na matokeo mazuri.

Walisimama Imara Katika “Saa ya Jaribu”

Ona jinsi kuanza kwa Vita vya Kwanza vya Ulimwengu katika mwaka wa 1914 kulivyofanya ulimwengu utambue hatimaye kwamba Wanafunzi wa Biblia hawaungi mkono upande wowote katika vita.

1919 hadi 1930

“Kwa Wale Waliokabidhiwa Kazi”

Tukio la 1919 lilikuwa mwanzo wa kazi iliyoenea ulimwenguni pote.

“Tukiwa na Bidii na Upendo Mwingi Moyoni Kuliko Wakati Mwingine Wowote”

Baada ya kusanyiko lao la 1922, Wanafunzi wa Biblia walitumiaje shauri la “kutangaza Mfalme na ufalme wake”?

Kweli Yaangaza Katika Nchi ya Macheo ya Jua

Magari yaliyotengenezwa kwa njia ya pekee yaliyoitwa “Yehu” yalisaidia katika kazi ya kuhubiri nchini Japani

Sinema “Isiyosahaulika” Ilitolewa kwa Wakati Unaofaa Kabisa

Jifunze jinsi sinema mpya ya “Creation Drama” ilivyowasaidia Mashahidi nchini Ujerumani kukabiliana na majaribu ya imani wakati wa Vita vya Pili vya Ulimwengu.

“Yehova Aliwaleta Ufaransa ili Mjifunze Kweli”

Mkataba wa uhamiaji wa mwaka wa 1919 uliosainiwa na nchi ya Ufaransa na Poland ulikuwa na matokeo yasiyotarajiwa

“Nilikuwa Kama Kobe Katika Gamba Lake—Nilisafiri na Nyumba Yangu Popote Nilipoenda”

Mwishoni mwa mwaka wa 1929, kulikuwa na Mshuko Mkubwa wa Kiuchumi ulimwenguni pote. Wahubiri wa wakati wote walikabilianaje na tatizo hilo?

1931 hadi Leo

Walishikamana na Yehova Katika Nyakati Ngumu

Baada ya Vita vya Pili vya Ulimwengu, ndugu waliokuwa wakiishi katika sehemu za Ulaya zilizoathiriwa na vita walikabili hali ngumu. Tunaweza kujifunza nini kutoka kwa wale waliokuwepo katika kipindi hicho?

Kuwa na Umoja Katika Nchi Iliyogawanyika

Mashahidi wa Yehova walikabilianaje na sera ya ubaguzi wa rangi Afrika Kusini? Na tunajifunza nini kutokana na historia yao?

Shirika la Kitamaduni Lililofundisha Kweli za Biblia

Mashahidi wa Yehova nchini Mexico walikuwa wamesajiliwa kama shirika la kijamii na kitamaduni kwa miaka 50. Ingawa ibada yetu iliwekewa vizuizi mbalimbali, ona jinsi Yehova alivyobariki kazi yetu.

“Msiruhusu Kitu Chochote Chini ya Jua Kiwazuie!”

Watumishi wa wakati wote wa miaka ya 1930 nchini Ufaransa, waliacha historia nzuri ya bidii na uvumilivu.

“Hakuna Barabara Isiyopitika au Ndefu Kupita Kiasi”

Mwishoni mwa miaka ya 1920 na mwanzoni mwa 1930, mapainia wenye bidii walionyesha azimio lao la kueneza habari njema ya Ufalme katika eneo kubwa la mashambani la Australia.

“Tutakuwa na Kusanyiko Lingine Lini?”

Ni nini kilichofanya kusanyiko dogo lililofanywa jijini Mexico City mwaka wa 1932 liwe la pekee?

Mfalme Alifurahi Sana!

Soma kuhusu jinsi mfalme wa Swaziland alivyothamini kujifunza kweli za Biblia.

Lightbearer Yapeleka Nuru ya Kiroho Kusini Mashariki Mwa Bara la Asia

Licha ya upinzani, kikundi kidogo cha wasafiri wa Lightbearer kilisambaza kwa ujasiri nuru ya kweli za Biblia katika eneo kubwa na lenye watu wengi.

Mamilioni ya Watu Nchini Brazili Walilijua Gari Lenye Kipaza Sauti

Kuanzia mwaka wa 1936 hadi 1941, “gari lenye kipaza sauti la Watch Tower” liliwasaidia Mashahidi nchini Brazili kuwahubiria mamilioni ya watu ujumbe wa Ufalme.

“Amkeni, Enyi Wahubiri wa Ufalme Nchini Uingereza!”

Hakukuwa na ongezeko kubwa katika idadi ya wahubiri kwa miaka kumi nchini Uingereza! Mambo yalibadilika jinsi gani?

Mashahidi wa Yehova Nchini New Zealand​—Wakristo Wenye Amani na Waliojitoa

Katika miaka ya 1940, kwa nini Mashahidi walionwa kuwa wanahatarisha amani ya umma?

Walitoa Kilicho Bora

Mashahidi wa Yehova waliwasaidiaje waabudu wenzao nchini Ujerumani mara moja baada ya vita vya pili vya ulimwengu?

Idadi ya Watu Wanaojua Kusoma na Kuandika Yaongezeka Duniani

Wenye mamlaka katika nchi mbalimbali wamewasifu Mashahidi wa Yehova kwa kazi waliyofanya ya kuongeza kiwango cha watu wanaojua kusoma na kuandika.