Hamia kwenye habari

Mashahidi wa Yehova—Imani Yenye Matendo, Sehemu ya 1: Kutoka Gizani

Wanafunzi wa Biblia walihitaji kuwa na imani yenye nguvu ili kujiondoa kwenye giza la mazoea ya kidini yaliyokuwa yameendelea kwa karne nyingi. Hata hivyo, waliangaza nuru kwa ujasiri na kwa bidii. Tazama uone ujasiri na ushikamanifu wao na jinsi Yehova alivyowaongoza “kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.”

 

Huenda Ukapenda Pia

VIDEO ZA MASIMULIZI

Mashahidi wa Yehova—Imani Yenye Matendo, Sehemu ya 2: Nuru na Iangaze

Yesu aliwaagiza wafuasi wake ‘wafanye wanafunzi kutoka kwa watu wa mataifa yote.’ Kwa sababu ya upinzani na hali ngumu, Wanafunzi wa Biblia walitambua kinachomaanishwa hasa na kuacha nuru iangaze.