Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

2023 Jumla Kuu

2023 Jumla Kuu
  • Ofisi za Tawi za Mashahidi wa Yehova: 85

  • Idadi ya Nchi Zinazoripoti:  239

  • Idadi ya Makutaniko: 118,177

  • Hudhurio la Ukumbusho Ulimwenguni Pote: 20,461,767

  • Waliokula Mkate na Kunywa Divai Ulimwenguni Pote: 22,312

  • Kilele cha Wahubiri a: 8,816,562

  • Wastani wa Wahubiri Watendaji Kila Mwezi: 8,625,042

  • Asilimia ya Ongezeko Kupita 2022: 1.3

  • Idadi ya Waliobatizwa b: 269,517

  • Wastani wa Mapainia c Kila Mwezi: 1,570,906

  • Wastani wa Mapainia Wasaidizi Kila Mwezi: 738,457

  • Jumla ya Saa Zilizotumiwa Shambani: 1,791,490,713

  • Wastani wa Mafunzo ya Biblia d ya Nyumbani Kila Mwezi: 7,281,212

Mwaka wa utumishi wa 2023 ulianza Septemba 1, 2022, hadi Agosti 31, 2023.

a Mhubiri ni yule anayehubiri kwa ukawaida habari njema ya Ufalme wa Mungu. (Mathayo 24:14) Ili upate ufafanuzi kamili kuhusu jinsi idadi hii inavyopatikana, soma makala yenye kichwa “Mashahidi wa Yehova Ni Wangapi Ulimwenguni Pote?” kwenye tovuti ya jw.org/sw.

b Ili upate habari zaidi kuhusu hatua ambazo mtu anapaswa kuchukua ili abatizwe na kuwa Shahidi wa Yehova, soma makala yenye kichwa “Nifanye Nini Ili Niwe Shahidi wa Yehova?” kwenye tovuti ya jw.org/sw.

c Painia ni shahidi aliyebatizwa ambaye ni mfano mzuri, anayejitolea kutumia idadi hususa za saa kila mwezi kuhubiri habari njema.

d Kwa habari zaidi, soma makala yenye kichwa “Mtaala wa Kujifunza Biblia Unaotolewa na Mashahidi wa Yehova Ni Nini?” kwenye tovuti ya jw.org/sw.