Mrudie Yehova

Yehova huwatafuta kondoo wake waliopotea, na anakusihi umrudie.

Barua Kutoka Baraza Linaloongoza

Barua hii kutoka Baraza Linaloongoza inawasihi watumishi wa Mungu waliopeperuka kutoka kundini wamrudie.

SEHEMU YA 1

“Aliyepotea Nitamtafuta”

Je, Mungu humwacha kondoo aliyepotea bila tumaini?

SEHEMU YA 2

Mahangaiko​—‘Kukazwa Katika Kila Njia’

Ikiwa umevunjika moyo kwa sababu huwezi kumtumikia Yehova kama ulivyofanya zamani, kuna dokezo moja rahisi litakalokusaidia kupata nguvu Zake.

SEHEMU YA 3

Kuumizwa Hisia​—Tunapokuwa na “Sababu ya Kulalamika”

Kanuni tatu za Biblia zitazokusaidia kuvumilia unapohisi kwamba mwamini mwenzako amekukosea.

SEHEMU YA 4

Hisia za Kuwa na Hatia​—‘Nitakase Kutokana na Dhambi Yangu’

Unawezaje kupata kitulizo kutokana na dhamiri safi?

SEHEMU YA 5

Mrudieni “Mchungaji na Mwangalizi wa Nafsi Zenu”

Ikiwa ninataka kumrudia Yehova, nitaanzia wapi? Kutaniko litanionaje?

Umalizio

Je, unakumbuka pindi ulizofurahia pamoja na watu wa Yehova?