Uhai—Ulitokana na Muumba?

Ni muhimu sana kuchunguza msingi wa mambo unayoamini kuhusu chanzo cha uhai.

Utangulizi

Je, dunia yetu iliumbwa ili kutegemeza uhai? Je, fundisho la mageuzi linategemea kabisa mambo ambayo yamethibitishwa?

Unaamini Nini?

Huenda unaamini kwamba kuna Mungu, na unaiheshimu Biblia. Wakati uleule, unaheshimu pia maoni ya wanasayansi waliobobea katika taaluma zao, ambao wanaamini kwamba uhai ulijitokeza wenyewe.

Sayari Yenye Uhai Tele

Hakungekuwa na uhai duniani ikiwa si kwa sababu ya “matukio” fulani hususa. Je, matukio hayo yalijitokeza tu yenyewe au yalibuniwa kwa kusudi fulani?

Ni Nani Aliyebuni Kwanza?

Watafiti waliobobea huiga mifumo ya asili ili kutatua matatizo ya kihandisi. Ikiwa kuiga kunahitaji akili nyingi sana, namna gani kazi ya kubuni kile kinachoigwa?

Mageuzi—Dhana na Ukweli wa Mambo

Dai moja la fundisho la mageuzi ni kwamba mabadiliko ya chembe za urithi yanaweza kutokeza spishi mpya au hata makundi mapya kabisa ya wanyama na mimea. Je, kweli dai hilo linategemea mambo yaliyothibitishwa?

Sayansi na Kitabu cha Mwanzo

Je, sayansi inathibitisha kwamba masimulizi ya Biblia kuhusu uumbaji si ya kweli?

Imani Yako ni Jambo la Kuhangaikiwa?

Je, imani ya mageuzi inaweza kuathiri maoni yako kuhusu kusudi la maisha?

Bibliografia

Chunguza machapisho yaliyotumiwa kuandaa broshua hii.