Hamia kwenye habari

Makusanyiko ya Kimataifa ya Mwaka 2014​—Mashahidi wa Yehova Wautafuta Kwanza Ufalme wa Mungu

Makusanyiko ya Kimataifa ya Mwaka 2014​—Mashahidi wa Yehova Wautafuta Kwanza Ufalme wa Mungu

Je, Ufalme wa Mungu unaozungumziwa katika Biblia una maana yoyote leo? Tazama undugu wa ulimwenguni pote ukikutanika ili kujifunza kuhusu Ufalme na kuonyesha nguvu zake.