AMUKA! Mwezi wa 11, 2013 | Kanuni za Mwenendo Zinazofanya Maisha Yawe Mazuri Kabisa

Kanuni zetu za mwenendo zinachochea tabia yetu, mambo ambayo tunatanguliza katika maisha, mahusiano yetu na watu wengine, na pia mwongozo ambao tunawapa watoto wetu kuhusu mwenendo muzuri. Fikiria kanuni ine za mwenendo zenye kutegemea Biblia ambazo zinaweza kufanya maisha yetu yawe mazuri.

Habari Fulani za Ulimwengu

Habari hizo zinatia ndani: kodi ya kanisa katika inchi ya Ujerumani, matokeo mazuri ambayo kusifiwa kunaleta ndani ya ubongo, na kuongezeka kwa watu ambao wanasema kuwa “hawana dini yoyote.”

MUSAADA KWA FAMILIA

Namna ya Kuzungumuza na Kijana Wako Kuhusu Tabia ya Kutuma Mambo ya Ngono Kupitia Simu

Usingojee kijana wako apatwe na tatizo fulani. Zungumuza na kijana wako juu ya hatari za kutuma mambo ya ngono kupitia simu

HABARI KUBWA

Kanuni za Mwenendo Zinazofanya Maisha Yawe Mazuri Kabisa

Watu wengi wana maoni haya, ‘Ikiwa unaona jambo ni nzuri, ulifanye. Fuata namna moyo wako unakuambia.’ Je, ni jambo la hekima kufikiri hivyo? Ona namna Biblia inatoa kanuni za mwenendo ambazo unaweza kutumainia.

SEHEMU YA KUULIZA MAULIZO

Mupigaji Muzuri wa Piano Anaeleza Imani Yake

Muziki wenyewe ulimusadikisha mutu huyo ambaye zamani hakuamini kuna Mungu aamini kuna Muumbaji. Ni nini kilimuchochea aamini kwamba Biblia iliandikwa kwa kuongozwa na roho ya Mungu?

Mwanamuke Anapopambana na Matatizo ya Kipindi cha Kuacha Kuona Mwezi

Kadiri wewe na watu ambao unapenda munavyoelewa kipindi cha kuacha kuona mwezi, ndivyo mutakuwa na uwezo wa kupambana na matatizo ambayo yanatokana na kipindi hicho.

MAWAZO YA BIBLIA

Ndoa

Jifunze namna Mungu amemupatia mwanaume na mwanamuke madaraka katika ndoa inavyoweza kuwasaidia wawe na mafanikio na furaha.

Wewe, Una “Karamu Sikuzote”?

Ijapokuwa una magumu, jifunze namna unaweza kukazia akili mambo mazuri na kupata furaha ya moyoni.