AMUKA! Mwezi wa 3, 2015 | Mungu Anakuwaka? Faida 4 za Kujua Hivyo

Jibu la ulizo hili linaweza kukushangaza.

HABARI KUBWA

Mungu Anakuwaka? Faida 4 za Kujua Hivyo

Ni lazima kabisa kujua jibu la ulizo lenye watu wengi wanaona kuwa halina jibu ao halina maana?

HABARI FULANI ZA ULIMWENGU

Habari Fulani za Afrika

Rushwa isiyojulishwa na kuwinda vifaru kinyume na sheria vinapatana katika jambo fulani.

MUSAADA KWA FAMILIA

Kushugulika na Wazazi Wakwe

Mashauri tatu yanaweza kukusaidia ili kufanya tatizo pamoja na wazazi wakwe lisilete shida katika ndoa.

MAMBO YENYE HISTORIA INATUFUNDISHA

Sheria Zenye Ziligawanya Makontinenti

Sababu gani Brazili ndiyo inchi pekee ya Amerika ambamo Kireno ndiyo luga ya kwanza?

Hewa ya Muzuri na Mwangaza wa Jua—Ni “Dawa” za Asili za Kuua Bakteria?

Sayansi ya leo inahakikisha mambo watu walivumbua kati ya mwaka wa 1801 na 1900.

MAWAZO YA BIBLIA

Michezo ya Feza

Ni njia tu ya kujifurahisha isiyokuwa na hatari yoyote?

KITU HIKI KILIJIFANYA CHENYEWE?

Uwezo wa Ajabu wa Kusikia wa Nondo Mukubwa

Hata kama sikio lake halina mambo mengi, anaweza kufanya jambo fulani muzuri kupita kiumbe kingine chochote.

Usikose Pia Kusoma Habari Hizi

Upange Vitu Muzuri

Yehova amepanga muzuri vitu vyote. Ujifunze namna unaweza pia kupanga vitu muzuri!