MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 11, 2019

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 30 Mwezi wa 12, 2019 mupaka tarehe 2 Mwezi wa 2, 2020.

Fanya Urafiki Wenye Nguvu Pamoja na Wengine Mbele Mwisho Ufike

Marafiki wa Yeremia walimusaidia kuokoka wakati wa magumu yenye ilitokea mbele ya uharibifu wa Yerusalemu. Mufano wake unaweza kutufundisha mambo mingi.

Namna Roho Takatifu Inatusaidia

Roho takatifu ya Mungu inaweza kutusaidia tuvumilie. Lakini ili roho takatifu itusaidie kabisa, kuko mambo ine yenye tunapaswa kufanya.

Uko Unatunza ‘Ngao Yako Kubwa ya Imani’?

Imani yetu inatulinda kama vile ngao. Tunaweza kufanya nini ili kuhakikisha kama ngao yetu ya imani iko katika hali ya muzuri?

Mambo Yenye Kitabu cha Mambo ya Walawi Kinatufundisha

Kitabu cha Mambo ya Walawi kiko na sheria zenye Yehova alipatia taifa la zamani la Israeli. Sisi Wakristo, hatuongozwe na sheria hizo, lakini zinaweza kutufundisha mambo fulani.

‘Umalizie Kile Chenye Ulianza’

Hata kama tunakamata maamuzi ya muzuri, inaweza kuwa nguvu kutimiza ile maamuzi. Ona mashauri yenye kufaa yenye inaweza kukusaidia kumalizia kile chenye unaanza.

Ulijua?

Wakati wa zamani, wasimamizi-nyumba walikuwa na daraka gani?