Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 118

‘Unipatie Imani Zaidi’

‘Unipatie Imani Zaidi’

(Luka 17:5)

  1. 1. Kwa sababu niko mutenda-zambi,

    Moyo wangu ni mudanganyifu;

    Njo maana ninakukoseaka

    Na kukosa kuwa na imani.

    (REFREE)

    Baba yangu, Mungu mwenye rehema

    Nakuomba unihurumie.

    Unipatie imani zaidi

    Ili nikusifu kwa matendo.

  2. 2. Bila imani haiwezekane

    Mutu afurahishe Yehova.

    Na imani ni kama ngao kubwa,

    Inatulinda tusiogope.

    (REFREE)

    Baba yangu, Mungu mwenye rehema

    Nakuomba unihurumie.

    Unipatie imani zaidi

    Ili nikusifu kwa matendo.