Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 125

“Wenye Furaha Ni Wale Wenye Rehema!”

“Wenye Furaha Ni Wale Wenye Rehema!”

(Matayo 5:7)

  1. 1. Mungu ni mwenye rehema,

    Tena ni mwenye furaha.

    Anatutimiziaka

    Mahitaji yetu yote.

    Tena tukitubu zambi,

    Kweli atatusamehe.

    Anakumbuka ya kama

    Siye hatukamilike.

  2. 2. Kama tunafanya zambi,

    Kweli tutubu kabisa.

    Yesu alituambia

    Tusali kwa baba yake;

    Naye atatusamehe

    Tukisamehe wengine.

    Kama tunafanya vile

    Tutakuwa na amani.

  3. 3. Tukisaidia watu

    Wenye hawana uwezo,

    Ikuwe kwa moyo wote,

    Hapana kwa kujisifu.

    Mungu iko anaona.

    Yeye njo atatulipa.

    Anafurahi kabisa

    Tukionyesha rehema.

(Ona pia Mt. 6:2-4, 12-14.)