Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 5

Kazi za Mungu Ni za Ajabu

Kazi za Mungu Ni za Ajabu

(Zaburi 139)

  1. 1. Yah, unanijua muzuri,

    Nikilala na nikilamuka.

    Unajua mawazo yangu yote,

    Na pia maneno na

    matendo yangu.

    Uliona mifupa yangu

    Mbele mama yangu anizale.

    Uliniumba kwa ajabu sana,

    Unastahili sifa na

    utukufu.

    Yehova uko na hekima sana;

    Moyo wangu unajua vile.

    Na nikipotea katika giza,

    Roho yako itaniongoza.

    Baba, hata niende wapi,

    kwa kweli weye utaniona.

    Siwezi kufichama mu kaburi,

    mu bahari, mu giza,

    wala mbinguni.