AMKENI! Novemba 2014 | Jinsi ya Kuishi Maisha Yenye Furaha

Biblia ina ushauri unaoweza kukusaidia uishi maisha yenye furaha. Chunguza kanuni nne za Biblia zitakazokusaidia.

Kuutazama Ulimwengu

Habari hizo zinatia ndani: mipango iliyositishwa ya kulinda msitu wa mvua wa Ekuado, ugumu wa kugundua damu yenye virusi, ugomvi wa kutunza wanyama-vipenzi nchini Australia.

HABARI KUU

Jinsi ya Kuishi Maisha Yenye Furaha

Je, ushauri wa Biblia unaweza kukusaidia uwe na maisha yenye furaha? Makala hii inazungumzia kanuni nne za Biblia zinazoweza kukusaidia

Mifereji—Maajabu ya Uhandisi wa Waroma

Kwa nini Waroma wa kale walijenga mifereji? Ni nini kilichofanya kazi ya kujenga mifereji hiyo iwe ya kustaajabisha?

KUTOKA KWA WASOMAJI WETU

Mtoto Wako Anaposema Uwongo

Ufanye nini mtoto wako anaposema uwongo? Makala hii inazungumzia ushauri unaotegemea Biblia ambao unaweza kukusaidia umfundishe mtoto wako atambue umuhimu wa kusema ukweli.

SIMULIZI LA MAISHA

Nilipata Tumaini Nilipokuwa Nimekata Tamaa

Akiwa na umri wa miaka 20, Miklós Aleksza alipooza kwa sababu ya aksidenti mbaya. Biblia ilimsaidiaje kuwa na tumaini bora la wakati ujao?

MAONI YA BIBLIA

Usafi

Chunguza ushauri wenye hekima wa Biblia ambao umewasaidia mamilioni ya watu kuishi maisha safi na kuwa na afya bora.

“Kumbukumbu Inayoonekana”

Kwa nini jengo lililoko jijini Hiroshima, Japani limebaki magofu tangu 1945? Soma kuhusu jengo hili la pekee na jinsi linavyohusiana na ahadi za Biblia za wakati ujao.

Habari Zaidi Mtandaoni

Kwa Nini Niwasaidie Wengine?

Unapata angalau faida mbili kwa kuwatendea wengine mema. Ni faida gani hizo?

Vijana Wanazungumza Kuhusu Pesa

Pata madokezo yanayohusu jinsi ya kuhifadhi, kutumia, na kuwa na maoni yanayofaa kuhusu pesa.

Kadi ya Biblia ya Miriamu

Miriamu alicheza chombo gani cha muziki? Jifunze mengi zaidi kumhusu kwa kupakua kadi hii ya Biblia.