MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Novemba 2019

Toleo hili lina makala za funzo za Desemba 30, 2019–Februari 2, 2020.

Imarisha Urafiki Wako Pamoja na Wengine Kabla ya Mwisho Kufika

Tunaweza kujifunza mengi kutokana na mambo yaliyompata Yeremia ambaye rafiki zake walimsaidia kukabiliana na hali ngumu zilizokuwepo kabla ya Yerusalemu kuharibiwa.

Jinsi Roho Takatifu Inavyotusaidia

Roho takatifu ya Mungu inaweza kutusaidia kuvumilia. Hata hivyo, ili itunufaishe kikamili kuna mambo manne tunayopaswa kufanya.

Je, Unadumisha “Ngao Kubwa ya Imani”?

Imani yetu ni kama ngao inayotulinda. Tunaweza kufanya nini ili kuhakikisha kwamba ngao yetu ya imani iko katika hali nzuri?

Mambo Tunayojifunza Katika Kitabu cha Mambo ya Walawi

Kitabu cha Mambo ya Walawi kina sheria ambazo Yehova aliwapa Waisraeli wa kale. Tukiwa Wakristo, hatuko chini ya sheria hizo, lakini zinaweza kutunufaisha.

‘Malizeni Kile Mlichoanza Kufanya’

Hata tunapofanya maamuzi mazuri, huenda ikawa vigumu kuyatekeleza. Chunguza madokezo kadhaa yatakayokusaidia kumaliza kile unachoanza kufanya.

Je, Wajua?

Wasimamizi Walikuwa na Majukumu Gani Katika Nyakati za Biblia?