MNARA WA MLINZI Januari 2013

Kwa Wasomaji Wetu

Kuanzia toleo hili, makala zilizoteuliwa kutoka kwenye gazeti hili zitapatikana tu kwenye Intaneti. Soma mengi zaidi kuhusu sababu za mabadiliko hayo.

HABARI KUU

Mwisho wa Ulimwengu—Hofu, Msisimuko, na Kuvunjika Moyo

Huenda ukashangazwa na yale ambayo Biblia inasema kuhusu mwisho wa ulimwengu.

MKARIBIE MUNGU

“Umeyafunua . . . kwa Watoto”

Pata kujua jinsi unavyoweza kuzijua kweli za kiroho kumhusu Mungu zilizo katika Biblia.

BIBLIA HUBADILI MAISHA

“Nimepata Uhuru wa Kweli.”

Jifunze jinsi kanuni za Biblia zilivyomsaidia kijana fulani kuacha kuvuta sigara, kutumia dawa za kulevya, na pombe.

IGENI IMANI YAO

“Ijapokuwa Alikufa, Bado Anasema”

Chunguza sababu tatu za msingi zilizomfanya Abeli awe na imani katika Muumba mwenye upendo.

Majibu ya Maswali ya Biblia

Jina la Mungu ni nani na kwa nini tunapaswa kulitumia?

Habari Zaidi Mtandaoni

Usiwe na Wivu!

Soma jinsi Musa alivyotenda kaka na dada yake walipomwonea wivu.

Sema “Asante”

Wazazi, wasaidieni watoto wenu kujifunza umuhimu wa kusema asante hata wanapokuwa na umri mdogo zaidi.