MATUKIO MUHIMU YA MWAKA ULIOPITA
Maendeleo ya Ujenzi Huko Warwick
UJENZI wa makao makuu mapya huko Warwick, New York unaendelea vizuri na unathibitisha kwamba Yehova anaunga mkono na kutegemeza mradi huo.
Anthony Morris, mshiriki wa Baraza Linaloongoza alisema kwamba ndugu kutoka sehemu mbalimbali za dunia watakaribishwa kutembelea Warwick ujenzi utakapokamilika.