Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

MATUKIO MUHIMU YA MWAKA ULIOPITA

Maendeleo ya Ujenzi Huko Warwick

Maendeleo ya Ujenzi Huko Warwick

UJENZI wa makao makuu mapya huko Warwick, New York unaendelea vizuri na unathibitisha kwamba Yehova anaunga mkono na kutegemeza mradi huo.

Anthony Morris, mshiriki wa Baraza Linaloongoza alisema kwamba ndugu kutoka sehemu mbalimbali za dunia watakaribishwa kutembelea Warwick ujenzi utakapokamilika.

Eneo la mapokezi kwenye makao makuu mapya huko Warwick, New York