Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 21-27/3

1 Samweli 16-17

Tarehe 21-27/3
  • Wimbo 7 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

  • Vita Ni ya Yehova”: (Dak. 10)

  • Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • 1Sa 16:14​—Ni mu maana gani Sauli alipata “roho ya mubaya kutoka kwa Yehova”? (it-2-F uku. 905-906)

    • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo ingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 1Sa 16:1-13 (th somo ya 5)

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

  • Mwaliko wa Ukumbusho: (Dak. 2) Tumia sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. (th somo ya 11)

  • Mwaliko wa Ukumbusho: (Dak. 3) Alika mufanyakazi mwenzako, mwanafunzi mwenzako, ao mutu wa jamaa yako mwenye ulihubiriaka zamani. (th somo ya 2)

  • Kumurudilia Mutu: (Dak. 3) Rudilia mutu mwenye alipendezwa na kukubali mwaliko wa Ukumbusho. (th somo ya 4)

  • Kumurudilia Mutu: (Dak. 3) Rudilia mutu mwenye alipendezwa na kukubali mwaliko wa Ukumbusho. Umuonyeshe site yetu ya Enternete. (th somo ya 20)

MAISHA YA MUKRISTO