UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Kimbelembele Kinapatishaka Mutu Haya
Mufalme Sauli alijikuta mu hali ya nguvu sana (1Sa 13:5-7)
Kuliko kuonyesha kiasi kwa kufuata maagizo ya Yehova, Sauli alitenda kwa kimbelembele (1Sa 13:8, 9; w00-SW 1/8 uku. 13 fu. 17)
Yehova alimupatia Sauli nizamu (1Sa 13:13, 14; w07-SW 15/6 uku. 27 fu. 8)
Mutu anatenda kwa kimbelembele wakati anafanya haraka-haraka ao bila kufikiri jambo fulani yenye haruhusiwe kufanya. Kimbelembele ni kunyume ya kiasi. Ni mu hali gani mbalimbali mutu anaweza kujaribiwa kutenda kwa kimbelembele?