MUNARA WA MULINZI Na. 5 2017 | Malaika—Wako Kabisa? Sababu Gani Tufikirie Jambo Hilo?
UNAWAZA NAMNA GANI?
Malaika wako kabisa? Biblia inasema hivi:
‘Mubarikini Yehova, enyi malaika zake, mulio na uwezo katika nguvu, munaolitenda neno lake, kwa kuisikiliza sauti ya neno lake.’—Zaburi 103:20.
Munara wa Mulinzi huu unaonyesha mambo Biblia inasema kuhusu malaika na mambo wanatimiza leo katika maisha yetu.
HABARI KUBWA
Malaika—Wanatimiza Jambo Fulani Katika Maisha Yako?
Mambo yenye watu walijionea kabisa katika maisha yamefanya wengine wengi waamini kwamba viumbe wa roho wanatimiza jambo fulani katika maisha yetu.
HABARI KUBWA
Ukweli Kuhusu Malaika
Hakuna nafasi ingine ya muzuri kwenye tunaweza kupata majibu, isipokuwa tu katika Biblia.
HABARI KUBWA
Namna Gani Malaika Wanaweza Kukusaidia?
Katika hali nyingi, Mungu ametuma malaika ili kusaidia wanadamu.
Ulijua?
Yesu alitumia matusi wakati alizungumuzia watu wa mataifa kama ‘imbwa wadogo’?
BIBLIA INABADILISHA MAISHA YA WATU
Kwangu Mimi, Hakukuwa Mungu
Namna gani mutu mumoja mwenye ujana wake uliongozwa na imani ya kwamba hakuna Mungu na Ukomunisti alifikia kupendezwa na Biblia?
Biblia Inasema Nini?
Inaonekana kama haiwezekane kuwa na dunia yenye amani na amani ya akili kwa sababu mateso na ukosefu wa haki vinaendelea leo. Kuko siku mambo hayo yataisha?
Usikose Pia Kusoma Habari Hizi
Ni Lazima Kabisa Kuwa mu Dini Fulani?
Mutu anaweza kumuabudu Mungu bila kuwa mu dini fulani?