Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 80

Uonje na Uone Vile Yehova Ni Mwema

Uonje na Uone Vile Yehova Ni Mwema

(Zaburi 34:8)

  1. 1. Tunapenda sana kazi

    ya kuhubiria watu.

    Tunatumia wakati wetu

    Ili tufundishe wengi.

    (REFREE)

    ‘Basi uonje, na uone

    Vile Mungu ni mwema.’

    Kushikamana na Yehova

    Kunaleta baraka.

  2. 2. Yehova anabariki

    Na anawasaidia

    Watumishi wa wakati wote

    Sababu wanajitoa.

    (REFREE)

    ‘Basi uonje, na uone

    Vile Mungu ni mwema.’

    Kushikamana na Yehova

    Kunaleta baraka.