Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

AMUKA! Na. 3 2017 | Biblia Inatoka Kabisa kwa Mungu?

Biblia inatoka kwa Mungu? Ao ni kitabu chenye kuwa na mawazo ya wanadamu tu?

Amuka!” hii inazungumuzia ushuhuda tatu wenye kuonyesha kwamba Biblia inatoka kabisa kwa Mungu.

 

HABARI KUBWA

Biblia—‘Iliongozwa na Roho ya Mungu’ Kabisa?

Watu fulani wanawaza kwamba kuna uhusiano fulani kati ya Biblia na Mungu. Watu wengine wanafikiri kwamba ni kitabu cha hadisi za kutunga, historia, na sheria za zamani zenye ziliandikwa na mwanadamu.

HABARI KUBWA

Biblia​—Inasema Kweli Katika Mambo Yote

Biblia haikuzungumuzia tu bila kukosea mambo mbalimbali kuhusu ulimwengu wa asili mbele wanasayansi wayafasirie, lakini pia ilitabiri kutokea na kuanguka kwa utawala mbalimbali na kutoa majibu yenye kufurahisha juu ya maulizo ya maana sana kuhusu maisha.

MUSAADA KWA FAMILIA

Faida ya Kazi za Nyumbani

Munajizuia kupatia watoto wenu kazi za nyumbani? Kama ni hivyo, mufikirie namna gani kazi za nyumba zinaweza kufundisha watoto wenu wajue kutimiza madaraka na kuwaletea furaha.

Mufumo wa Neva wa Matumbo​—Ni “Ubongo wa Pili” wa Mwili Wako?

“Nafasi hii ya kutengenezea kemikali” ambayo ni ya ajabu inapatikana kwa sehemu kubwa ndani ya tumbo lako. Kwa kweli nafasi hiyo inafanya nini kwa ajili yako?

SEHEMU YA KUULIZA MAULIZO

Mutengenezaji wa Programu za Ordinatere Anafasiria Imani Yake

Wakati alianza kazi yake akiwa mwanasayansi mwenye kufanya utafiti kuhusu elimu ya hesabu, Fan Yu hakuamini kama Mungu iko. Sasa anaamini kwamba uzima uliumbwa na Mungu. Sababu gani?

MAWAZO YA BIBLIA

Malaika

Malaika wameonyeshwa katika vitabu, michoro, na filme. Maandiko yanafunua nini kuhusu malaika?

KITU HIKI KILIJIFANYA CHENYEWE?

Manyoya ya Fisi-Maji wa Bahari

Wanyama fulani wa bahari wenye kunyonyesha wanategemea mafuta mengi yenye kuwa kwenye ngozi yao ili kubaki na joto. Fisi-maji wa bahari anatumia njia yenye kuwa tofauti.

Usikose Pia Kusoma Habari Hizi

Namna Gani Ninaweza Kupata Uhuru Zaidi?

Pengine, unawaza unastahili kutendewa kama mutu muzima, lakini wazazi wako hawaone hivyo. Ni mambo gani unapaswa kufanya ili wakutumainie?

Ni Nani Aliandikisha Biblia?

Kwa sababu wanadamu ndio waliiandika, inafaa kabisa kuitwa Neno la Mungu? Mawazo yenye kuwa katika Biblia ni ya nani?